MALIMWENGU…..



Mapambo ya Njeri usiyapime naya Adhiambo wala ya Chelagat kwani ya Adhiambo ni ya kuvumiliwa na ya Chelagat ni ya bora niweke tu ilhali ya Njeri ni stare once but not look twice
Ujinga ni kuwa unagraduate na umebeba mwaks kwa mfuko!
Marehemu ni maiti iliyovishwa suti
Avaaye minisketi haambiwi kaa skweya
Apendaye nyimbo za reggae hakosi kuvuta bangi au ukipenda ‘weed’
Mwenye kitambi hakosi kuwa mfisadi tena wa hali ya juu.
Maana ya neno mama ni kuwa ni mchumba wa baba.
Atembeaye kwa champali hakosi kuwa ni mshamba wa bara tena mfidhuli.
.Hapa Moi usiseme una mchumba, bibi au hata mke bali sema nina kirusha roho au stress releaser. Nawe janajike usiseme una chali bali sema una kichezea roho kwani si wewe pekee.
ONYO; Demu wako akianza kukuita ‘baby’ chunga pengine kuna mtoto halisi amefunikwa na baada ya nusu mwaka na miezi tatu atawasili.
Ujinga pamoja na utoto wa mtu hujitokeza anapougua maradhi ya frakaz.
Babangu ni mzee lakini bado acheza kalongolongo na hata pia chakacha!
Mbona wan’tusi nina sura mbaya ilhali yako yafanana na ya maiti.
Mwizi ni mwizi hata hata aende jahanamuni bado ataiba kiberiti cha huko

Comments

Popular posts from this blog

Does degree worth it?

Kisa cha Suleiman bwana Hamisi-kwa wapenzi wa Kiswahili pekee.