Suleiman kwa jinale jingine bwana Hamisi alipenda kuivisha roho yake kilembe kisichoingiliana nayo kwa kile nilichokiita unafiki na udoeaji .n’nini haya bwana Micah? Alikuwa apenda kuna sana! Aah! Bwana Micah s’oni ubaya wowote hata ncha. Lakushangaza ni kuwa alikuwa akalia mbuzi iwe ni kwa mama Hamadi, kashehe, Fatuma na hata kwenu pengine na usishangae shoga! Shida ni kule kupandapanda mbuzi bwana bila maudhui yoyote bali kuivisha vyakula vya watu ovyo ovyo. Hivi sasa mi n’tamtahadharisha babangu akitoka wakti wowote ule, ahakikishe amemdunga Makhoha mishale ya maneno dhidi ya Suleiman. Ahahahahahahahahahahahahahah! Ni umbea tu! Na micah mango.
Comments
Post a Comment