Posts

Showing posts from September, 2013

KUNI MBICHI!

                                                     Kuni mbichi ni msaliti wa moto. Torati zake ni kuufilisisha moto halafu kumshawishi chakula asihusiane na binadamu. Majipu yalikuwa yameshauteka mwili wangu nyara pasi huruma yoyote. Japo nilijizatiti niyakwaruze kwa, maji nayo yalikuwa yashamwagika na bila shaka kiu iliyonigubika ilizidi kuninyonga hata karibu nigeuke mwehu. Maisha nayo yalikuwa yametukodolea macho utadhani ibilisi alikuwa akiyaongoza. Chakula nacho kilikuwa nadra ja maji jangwani. Kuparara kwetu nako kulikuwa jambo jingine la kuzungumzia kwani macho yatakulipuka kwa mshangao ndugu. Miili yetu ilikuwa imebaki mifupa hata ladha ya kuwa binadamu ikawa shubiri. Kweli dunia si gunia la kuchezea ndugu na asiye...

KUOA SIOI TENA!

                                                                                    Janajike hili limeniparamia na kuniporomosha kihela pasi huruma yoyote. Nimekuwa shangingi wake kwa muda hata kumwacha nahisi kana kwamba nautema ulimwengu ulionilea. Ubabe wake umekuwa chanzo cha majonzi yangu huke matarajio yangu ya kimaisha nayo yamekuwa giza totoro. Demu huyu ni    ni jangili wa kimabavu kutokana na hila zake za kinyama. Vyombo vyangu vimekuwa vyake, nguo zangu nazo zimekuwa zake na si hayo tu, maisha yangu ameyamiliki hadi salamu nipatazo kutoka kwa akina dada wengine...

Moi University got Leaders!

                                                              Let me first express my love to all the directors who are really at our service. You are excellent, mwaaah! You all look fresh amidst yourselves though in the wrong context of unsatisfied comrades. Your love to us is of no objection but full of camouflaged inertia. Life is flowing smoothly as every personality minds his /her own keep ups that are the books but not considering the build ups factors to the manuscripts. All your paths are lit up by the strong sunlight yet your constituents are in a dark hole. They are doomed yet their hopes are also in your hands. You are our mothers who had thrown us away to the passing dogs...